Friday, 25 July 2014

"MWAKA WA PILI AU WA TATU?"
Mvurugano washuhudiwa kati ya wanafunzi wa moi bewa kuu mwaka wa pili na wa tatu.. kila mmoja hataki kuongozwa na mwenziwe..

 MWAKA WA TATU: "watoto watwambie nini??? na hatuwezi tawaliwa na wadogo zetu tuliowashuhudia   wakiingia moi kama freshaaz.."
MWAKA WA PILI: "laziama sisi pia tuwakilishwe kwenye  muungano wa wanafunzi ili tufufue MUSO na pia kiangazia  maswala yanayowakumba  wanafunzi wa mwaka wa pili na wote kwa jumla... sisi pia twaweza.

YUPI NI YUPI  AAMINIWEE  KAMA  KIONGOZI MWAFAKA ATAKAE CHUKUA NYADHIFA YA MWENYEKITI WA MUUNGANO WA WANAFUNZI CHUONI MOI BEWA KUU???